0
Mwasiti:Nillingiza Pesa Sana Kupitia naliivua PendoMoja kati ya wasanii wa kike ambao wameendelea kua juu katika muziki wa bongofleva Mwasiti Almasi maarufu kwa jina la Mwasiti Ameweke wazi kua mpaka sasa katika maisha yake ya kimuziki hkuna wimbo uliomuingizia pesa nyingi zaidi kama 'Nalivua Pendo'
Mwasiti Aliweka Wazi suala hilo na kusema kuwa wimbo wa 'Nalivua Pendo' ulimuingizia kipato kikubwa kutokana na kukubalika na watu wa Rika lote vijana na Wakubwa ambapo anakiri  kuwa hakuwa anatarajia mapokeo hayo wakatiti anauimba.
"Katika nyimbo ambazo zimeniingzia ia pesa nyingi sana  katika maisha yangu Nalivua pendo umeniingizia pesa nyingi sana,nilikua nafanya kazi nyingi sana shows nyingi sana ,corporate shows sana kwa sababu ni wimbo wa watu fulani,wakati nautoa mimi nilkua napenda nyimbo za kuruka lakini nkawa najiuliza huu wimbo utafanyaje  huu lakini ukawa ni wimbo ambao hata kijana mdogo anaenjoy muziki tofauti na nilivokua nikiuchukulia kua ni wimbo wa watu flani watu wazima na nini " Mwasiti amemuambia Jabir Saleh Mtangazaji wa kipindi hicho.
Wimbo wa Nalivua Pendo ulitoka miaka kadhaa iliyopita na ulikua ni wimbo mkubwa ambao ulimpa mafaniklio msanii huyo toka Kigoma.Kwa sasa Msanii Mwasiti anasikika katika vipindi mbalimbali kupitia wimbo wake mpya alioshirikiana na Rapper Godzilla.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top