Aliyekuwa
staa wa muziki wa Bongofleva kabla ya kuamua kuachana na muziki huo na
kumtumikia Mungu, Msanii QJ baada ya kimya kirefu ametangaza ujio wake
mpya katika muziki kwa upande wa Gospel.
msanii wa muziki wa bongofleva ambaye sasa anafanya gospel QJ
QJ
amesema kuwa, baada ya kubadili maisha yake alikuwa mtoto mdogo
kiimani, akiwa sasa amekuwa kiroho na tayari kwa ajili ya kuanza
kumtumikia Mungu kimuziki.
Kwa sasa msanii huyu anaendesha maisha yake kwa kufanya Ufundi, fani yake kubwa ikiwa ni uchomeleaji.
Kwa sasa msanii huyu anaendesha maisha yake kwa kufanya Ufundi, fani yake kubwa ikiwa ni uchomeleaji.
Post a Comment