
Bodi
ya Utalii Tanzania (TTB) imeshirikiana na Timu ya mpira wa miguu ya
Sunderland (SAFC) ya nchini Uingereza katika uzinduzi wa utangazaji
utalii wa Tanzania pamoja na kuhamasisha uwekezaji kwenye sekta ya
michezo (Destination Partner in Tourism and Sports Development).
Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 29 Novemba, 2014 kwenye kiwanja
kinachomilikiwa na timu ya Sunderland “Stadium of Light”


Balozi
wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kalaghe na Garry Hutchinson
Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya ligi kuu ya Uongereza ya Sunderland
wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo
wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania
yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo huko Sunderland.








Post a Comment