0
Chama cha kandanda cha Croatian kimethibitisha kwamba, kiungo wa kimataifa wa nchi hiyo na klabu ya Real Madrid Luka Modric atakuwa nje ya uwanja hadi mwezi February, ikiwa ni kipindi cha miezi mitatu, akiuguza jeraha.
Modric mwenye umri wa miaka 29 sasa aliumia kwenye kipindi cha kwanza cha mchezo wa jana kuwania kufuzu kwa fainali za kombe la mataifa ya Ulaya, Euro 2016 kati ya Italy na Croatia, ulioishia kwa sare ya 1-1.MODRIC ATAKUTANA NA KISU HIKI
MODRIC ATAKUTANA NA KISU HIKI
Kiungo huyo ambae amekuwa mhimili mkuu wa Real Madrid msimu huu, amepata tatizo kama hili… a tear in the left proximal rectus femoris tendon.”-1
HILO NDIO TATIZO KAMA ALILOPATA MODRIC
Kunako dakika ya 28, kwenye uwanja wa San Siro, Luka aliomba kubadilishwa baada ya kusikia maumivu makali kwenye misuli yake ya mbele ya paja…
Swali hapa ni moja tu, Kutokwepo kwake kwenye sehemu ya kiungo ya Real Madrid kutapunguza nguvu kiasi gani???…

Post a Comment

 
Top