Nigeria inatarajiwa kufanya uchaguzi wa Rais Jumamosi ijayo.
Hakuna vituo vya kupigia kura vitakavyoandaliwa katika maeneo mengi ya kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambako wapiganaji wa Boko Haram wanafanya mashambulizi yao.
Katika mkutano huo pia imeamuliwa kwamba wale wote waliopoteza makaazi yao kutokana na mapigano hayo, wataweza kupiga kura katika maeneo mengine.
Hata hivyo habari zinasema kwamba mambo mengi kwanza yanahitaji kukamilishwa.
Baadhi ya majimbo yanatarajiwa kutangaza siku za mapumziko kutoa nafasi kwa watu kuhakikisha kuwa wapo katika daftari la wapiga kura.
Post a Comment