Hivi karibuni wapenzi Chris Brown na Karrueche Tran wameteka vichwa
vya habari kwa kugombana kwenye mitandao na kurushiana vijembe kuhusu
mapungufu ya uhusiano wao na nani anasababisha.
Jipya kuhusu hawa ndege wawili ni kwamba walikutana kwenye mkesha wa
Krismass na kuongea machache kuhusu mahusiano yao na baadae kukubali
kukutana tena.
Watu wa karubi ni Chris wanasema amekuwa akijaribu kurudiana na
kumuomba msamaha mpenzi wake Karrueche bila kufanikiwa kwani Tran
alikuwa na hasira kila mara akimfikiria Chris.
Maongezi ya mwisho waliyofanya Chris Brown na Karrueche yalikuwa siku
ya alhamisi walipokutana kwenye pati ya X Mass ya Sean Kingston na
inasemekana waliondika pamoja baada ya pati kuisha. Hizi picha
zinawaonyesha pamoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





Post a Comment