0
stur***Liverpool haina msimu mzuri..
** Daniel Sturridge aumia tena mazoezini…
**Kuna mashaka kuwa atakuwa nje hadi Januari…sturi**Alipiga bao 14 katika maandalizi ya msimu mpya,,,achana na ule uliopita akiwa na Suarez..
**Sasa Liverpool ya 11 katika msimamo..na ni kama imekwishaaga Champions League…sturigAlitarajiwa kurejea kwenye mechi yake ya kwanza Jumapili hii dhidi ya Crystal Palace, lakini anasemekana kuumia tena paja, na leo Jumatano vipimo vyake vitatoka kujua kuwa ameumia kiasi gani…

Post a Comment

 
Top